YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Jumatano, 27 Novemba 2013

UGONJWA WA HEPATITIS B UPO NA UNAUA... KAPIME SASA!

HEPATITIS B NI NINI?

Hepatitis B ni ugonjwa wa manjano ambao hushambulia ini. A

Ugonjwa huu kama haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye KIFO.

Inakadiriwa watu milioni 350 duniani wameathirika na ugonjwa huu ambapo watu 620,000 hupoteza maisha kila mwaka kwa ugonjwa huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads