YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Jumatano, 27 Novemba 2013

Mazuri ya kuyafuata kutoka Fastjet !! @Fastjet


9Kutimiza mwaka mmoja tena wenye mafanikio kwenye usafirishaji wa anga sio kitu kidogo ndio maana nimeshawishika kutoa ya moyoni, sio kwa sababu ya bango lao hapo juu bali huduma zao zilizojuu.
Inaitwa Fastjet ambayo ndiyo kampuni ya ndege pekee ya bei nafuu Africa inayotoza nauli ya bei nafuu na unasafiri kwa uhakika ambapo Ijumaa hii November 29 2013 wanafikisha mwaka mmoja na sasa wakiwa wanasafirisha abiria kwenye mikoa ya Dar Es Salaam kwenda Mbeya, Kilimanjaro, Mwanza na Zanzibar.
Sasa basi, wakiwa wanasherehekea huu mwaka mmoja… Fastjet wanatoa maelfu ya tiketi kwa bei ya chini kabisa ya shilingi 32,000 kwa safari za ndani ya nchi, kwa ufupi ni kwamba una safiri popote wanapofika Fasjet nchini kwa shilingi 32,000 na unatakiwa kusafiri kati ya tarehe 6 Januari na 29 March 2014.
Baadhi ya watu wa nguvu ambao ni sehemu ya waliowahi kuenjoy kusafiri na Fastjet kwenda Johannesburg.
Baadhi ya watu wa nguvu ambao ni sehemu ya waliowahi kuenjoy kusafiri na Fastjet kwenda Johannesburg.
Kingine cha muhimu kufahamu, hiyo pesa hapo juu ni offer ya siku moja tu hivyo unatakiwa kununua tiketi yako Ijumaaa tarehe 29 November ili uipate kwa bei hiyo hivyo inabidi uwahi kwa sababu anayewahi ndiye anayepata kuhudumiwa kupitia fastjet.com au maelezo zaidi piga o767 007 903 na tembelea ofisi za Fastjet au wakala wa tiketi.
Ukitembelea ofisi za Fastjet kwa ajili ya kununua tiketi Ijumaa tarehe 29 utakutana na mengi mazuri manake wanatoa pia zawadi za keki na vitu mbalimbali kutoka Fastjet kwa ajili ya kusheherekea siku ya kuzaliwa kwao hapa Tanzania ambapo Ofisi za Fastjet Dar Es Salaam zipo Nyerere Road, Samora Avenue na Double Tree, Arusha zipo Blue Plaza na Mwanza zipo Kenyatta Road.
Fastjet pia wamenzindua safari za kwenda Johannesburg kutokea Dar zikifanyika amara tatu kwa wiki yani Jumatatu, Jumatano na Ijumaa na ticket zinauzwa kwa bei nafuu ya shilingi 160,000 hivyo tafuta Fastjet kwenye google utapata mambo meeeengi, tembelea fastjet.com, wapo facebook, twitter (@fastjet) na instagram (@fastjetofficial)
12


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads