YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Ijumaa, 13 Septemba 2013

T.I ashiriki kwenye ngoma iliyotengenezwa na msanii toka Kenya , video yake hii hapa.



T.I ashiriki kwenye ngoma iliyotengenezwa na msanii toka Kenya , video yake hii hapa.

Mwanamuziki na mtayarishaji wa muziki toka Kenya Lovy Longomba ambaye kwa muda mrefu sasa amehamishia makazi yake nchini Marekani ameanza kuonja matunda ya mafanikio kwenye industry ya muziki hasa ule wa kimataifa .
Hii ni baada ya kazi aliyoiandaa kutumika na mwanamuziki wa kimataifa toka nchini humo Clifford Harris Jr maarufu kama T.I  ambaye ni rapa maarufu anayetokea huko Atlanta .
Iggy Azalea ni rapa toka Australia ambaye ngoma yake ya Change Your Life ambayo amemshirikisha rapa maarufu T.I imetengenezwa na Lovy Longomba .
Iggy Azalea ni rapa toka Australia ambaye ngoma yake ya Change Your Life ambayo amemshirikisha rapa maarufu T.I imetengenezwa na Lovy Longomba .
T.I amerap kwenye track ya rapa wa kike toka Australia Iggy Azalea akiwa ameshirikishwa na mwanadada huyo katika nyimbo ya Change Your Life ambayo imetengenezwa na Lovy Longomba .
Kundi La The Longombaz kwenye moja ya video ya nyimbo yao.
Kundi La The Longombaz.
Lovy Longomba ni mmoja wa wanandugu watatu waliokuwa wanaunda kundi la The Longombas ambalo liliwahi kutamba na ngoma kali kama vile Dondosa ambayo iliwahi kufanya vizuri kipindi cha mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakiwa wanamuziki hao wakisimamamiwa na studio za Ogopa Djs .
Longomba kwa sasa amekuwa producer nchini Marekani na nyimbo ya Change Your Life ambayo ina siku tatu tangu ilipozinduliwa rasmi ambapo iliweza kutazamwa na watu 160,000 ndani ya saa 24 za kuzinduliwa kwake .
Lovy Longomba mwanamuziki wa kundi la The Longombaz ambaye kwa sasa amekuwa producer nchini Marekani.
Lovy Longomba mwanamuziki wa kundi la The Longombaz ambaye kwa sasa amekuwa producer nchini Marekani.
Richie Richie Longomba mmoja wa wanandugu waliokuwa wanaunda kundi la The Longombaz ambaye aliwahi kuishi Bongo na kutoa nyimbo ya Funguo ambayo ilifanya vizuri.
Richie Richie Longomba mmoja wa wanandugu waliokuwa wanaunda kundi la The Longombaz ambae aliwahi kuishi Bongo na kutoa nyimbo ya Funguo ambayo ilifanya vizuri.

Mmoja wa wanamuziki wa kundi la The Longombaz.
Mmoja wa wanamuziki wa kundi la The Longombaz.

Lovy Longomba na ndugu zake wawili akiwemo Richie Richie Longomba ambaye alihamia nchini Tanzania kipindi Fulani ambapo alitoa nyimbo iliyvuma sana ya funguo wanatoka kwenye familia ya muziki ambapo marehemu baba yao Lovy Longomba alikuwa mwanamuziki maarufu nchini Kongo na baba yao mdogo Awilo Longomba anabaki kuwa moja ya Malegends wa muziki wa Afrika akiwa amewahi kutwaa tuzo ya Kora mwaka 1997 kama mwanamuziki bora wa kiume kwa mwaka huo . Pia Lovy Longomba alikuwa na mtoto wa kike aliyewahi kufanya muziki nchini Tanzania kama mnenguaji na baadaye mwimbaji kabla ya kufariki dunia aliyekuwa anaitwa Elly Longomba .
Awilo Longomba ambaye ni baba mdogo wa wanamuziki wa The Longombaz.
Awilo Longomba ambaye ni baba mdogo wa wanamuziki wa The Longombaz.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads