KIKOSI cha wachezaji 22 cha Azam FC,
kesho Jumamosi kinatarajiwa kuondoka
nchini kwenda Afrika Kusini kuweka kambi
ya siku kumi kwa ajili ya kujiandaa na
msimu mpya wa 2013 / 2014 .
Kocha Msaidizi wa Azam, Kali Ongala
amesema kikosi hicho kitaondoka mchana
na ndege ya South African Airline na kikiwa
huko kitacheza mechi za kirafiki tatu au
nne na timu za huko.
“Tutaondoka hapa saa tisa alasiri ,
tunatarajia kufika saa 12 :00 jioni kwa saa
za hapa nchini . Tunatarajia kurejea nchini
kuanzia Agosti 13 kwa ajili ya mechi ya
Ngao ya Hisani mnamo Agosti 17 dhidi ya
Yanga,” alisema Ongala
Translate
Ijumaa, 2 Agosti 2013
Azam FC kushuka Sauz kesho
About Young Concious
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Newer Article
Uruguay yakaribia kuwa nchi ya kwanza
kuruhusu kulima, kuuza, kutumia bangi
Older Article
Oloya atua Dar, asaini Yanga
miaka miwili- Tanzania
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni