NAIBU Waziri wa Habari , Vijana,
Utamaduni na Michezo , Amos Makala
amefunguka kuwa hafurahishwi na
malumbano kati ya mwanamuziki Judith
Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee ’ na Bosi wa
Clouds FM , Ruge Mutahaba hivyo
amepanga kuwasuluhisha.
Akizungumza na Risasi Jumamosi katika
mahojiano maalum , Makala alisema
anamsihi Lady Jaydee akubali auombe
uongozi wa Clouds FM wakae pamoja
kumaliza tofauti zilizopo .
“Namsihi sana mdogo wangu na shemeji
yangu Jide akubali tukae pamoja na Clouds
ili tutafute suluhu . Naamini tukikaa pamoja
jambo hili litakwisha ,” alisema Makala.
Translate
Jumamosi, 11 Mei 2013
AMOS MAKALA AJITOSA KUWAKUTANISHA JIDE , RUGE
About Young Concious
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Newer Article
Demi Lovato Says She
Steals Pillow From
Every Hotel She Stays
In
Older Article
MTABIRI: MABOMU MENGINE
YAJA
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni