YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Ijumaa, 14 Novemba 2014

Uganda yawa Nchi ya kwanza Afrika Mashariki kutengeneza gari, wamelitengeneza hili kama mfano






Screen Shot 2014-11-14 at 11.40.40 AMTaarifa ikufikie kwamba Afrika Mashariki imeingia kwenye headlines za mapinduzi makubwa ya kiteknolojia kwa kutengeneza gari la aina tofauti na ile tuliyozoea barabarani.
Kwanini nimeyaita mapinduzi makubwa katika industry? tumezoea kutumia magari yanayotumia mafuta na baadhi yanayotumia gesi lakini hii mpya ni ya Uganda ambayo inatarajia kuzindua gari la kwanza kutengenezwa nchini humo ambalo linatumia umeme.
Screen Shot 2014-11-14 at 11.41.12 AMNi hili kwenye picha na video kwenye hii post ambalo limetengenezwa kwa msaada wa Serikali ya Uganda.
Screen Shot 2014-11-14 at 11.41.22 AMKiira Motor ambao ndio watengenezaji wamesema wanahitaji dola za kimarekani laki tatu na elfu 50 kama mtaji wa kuanza kuzalisha magari hayo na kuyatengeneza katika aina 19 tofauti ambapo wanataka kuanza kuyatoa mwaka 2018 huku lengo lao likiwa ni kutoa magari 300 kwa mwezi.
Screen Shot 2014-11-14 at 11.41.34 AMPichaz zote na video ni kutoka kituo cha TV cha K24.
Screen Shot 2014-11-14 at 11.40.54 AM
Screen Shot 2014-11-14 at 11.47.36 AM
Screen Shot 2014-11-14 at 11.47.56 AM
Screen Shot 2014-11-14 at 11.48.23 AM


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads