Baada ya Mganga,sasa huyu mchungaji amedai anaweza kumrudisha duniani mtoto aliyefariki.
Ni wiki chache toka Hekaheka itoe taarifa ya mganga aliyedai pia anaweza kumrudisha mtoto aliyefariki,familia pamoja na watu wa karibu wa familia hiyo wamepata nafasi ya kuongea.
Source: MillardAyo

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni