Jirani msumbufu.. kila siku wimbo huohuo tu kwa sauti kubwa
Mamlaka ya usalama ya Uingereza imemkataza raia mmoja wa nchi hiyo aitwae Gareth Davies kutosikiliza wimbo wa Celine Dion wa ‘My heart will go on’ baada ya malalamiko kutoka kwa majirani kwamba amekua akirudia kuucheza wimbo huo kwa sauti kubwa siku nzima.
Davies mwenye umri wa miaka 47 ameruhusiwa kubaki na iPhone na MacBook yake lakini amekatazwa kabisa kupiga wimbo wa Celine Dion my heart will go on au mwengine wowote ule kwa sauti kubwa ambapo vitu vyake vilivyochukuliwa atarudishiwa baada ya muda wa siku 28.
Source: MillardAyo

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni