YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Jumapili, 15 Septemba 2013

Ronaldo asaini mkataba mpya Real Madrid.



ronnie
Klabu ya Real Madrid imethibitisha kuwa winga wa kimataifa toka Ureno Cristiano Ronaldo amekubali kusaini mkataba mpya na klabu hiyo baada ya mazungumzo ya muda mrefu yaliyotishia mustakabali wa muda mrefu wa mchezaji huyo ndani ya klabu ya Real Madrid .
Ronaldo amesaini mkataba wa miaka mitatu utakaomfanya akae Real Madrid hadi mwaka 2018 ambapo atakuwa analipwa mshahara wa paundi milioni 14.7 kwa mwaka .
ron
Mkataba huo unaua rasmi matumaini ya klabu ya Manchester United ya kumrudisha nyumbani mchezaji huyo kama zilivyokuwa zinadai tetesi za vyombo vya habari huko England.
roon
rooon
Story Za Michezo Kwa Hisani Ya Benki Ya NMB.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads