YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Jumatano, 4 Septemba 2013

Muziki unavyowatajirisha Nigeria, hili ni gari jingine kaagiza Davido


Davido 2Pamoja na kwamba wengine wanasema utajiri wa baba yake umechangia huyu staa wa muziki wa Nigeria kuwa na magari na nyumba ya kifahari, imefahamika kwamba hata muziki wake pia umeripotiwa kumpa mkwanja mrefu ambao kwa asilimia kubwa unatokana na mauzo ya nyimbo kwenye makampuni ya simu pamoja na shows.
Davido ameshea na fans wake picha ya gari lake jipya aliloagiza ambalo ni Mercedes-Benz G63 AMG na kuandika ‘My baby fresh out the paint shop! Next Stop the port! See u in Lagos baby!!! #G63AMG 2013!!!”
Muziki wa Nigeria ambao ndio unatajwa kuongoza kuchezwa kwenye vituo vya radio na TV kwenye nchi mbalimbali barani Afrika kwa sasa, umewanyanyua wengi wenye vipaji na sasa ni miongoni mwa matajiri wa nchi hiyo akiwemo Tiwa Savage, Wizkid, D’banj, P Square na wengine wengi ambao malipo yao ni kwa USD.
DavidoHili gari jeupe hapa juu ni moja ya magari anayomiliki Davido, na hili hapa chini ndio hilo jipya aliloagiza… hii inatoa mwanga kwa kijana yeyote kwamba ukikitumia kipaji na bidii kwenye kila unachofanya, inalipa! Davido ameitumia fursa
Davido-Mercedes

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads