YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Ijumaa, 13 Septemba 2013

Mashabiki wa boxing kila upande wa dunia wanasubiri pambano hili weekend hii


Mashabiki wa boxing kila upande wa dunia wanasubiri pambano hili weekend hii


Mayweather v Canelo: undefeated champions face off in Time Square - video
Swali la msingi wanalojiuliza watu wengi wanaosubiri kuangalia pambano hili ni kwamba Mayweather ataendeleza ubabe wake kwenye boxing au ndiyo itakuwa mwisho. Hadi hivi sasa ameshapigana mara 44 na hajawai kushindwa hata moja kati ya hayo, kitu cha zaidi ni kwamba mapambano 26 kati ya hayo ameshinda kwa KO.
Jumamosi hii huo Las Vegas kwenye hotel ya MGM Grande ambapo ndiyo mapambano mengi huwa yanafanyika, kutakuwa na boxing fight kati ya Mayweather kutoka Marekani na Canelo kutoka Mexico. Kutokana na style ya maisha ya Mayweather,majigambo na uwezo wake katika mchezo wa boxing, pambano hili linavuta hisia za watu wengi kuona kama atafikisha mapambano 45 bila kupigwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads