YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Alhamisi, 28 Agosti 2014

Hii ni kuhusu mtoto wa mwezi mmoja alieliwa na Panya.


Screen Shot 2014-08-28 at 6.40.05 AMNi stori nyingine kubwa ya siku kutoka kwenye jiji la ×Johannesburg Afrika Kusini ikisema  kwamba ×Panya wamemng’ata vidole na pua mtoto wa mwezi mmoja kwenye kitongoji cha ×Alexandra wanachoishi watu wa hali ya chini.
BBCswahili wameripoti kwamba mtoto huyu kwa sasa anasubiria kufanyiwa upasuaji wa kuumba maumbile yake ya usoni baada ya tukio hili.
Panya walimvamia ×Erena Yekanyi nyumbani kwao huku mama yake akiwa anafua nguo nje ndipo alipokimbilia ndani kumtazama baada ya kusikia analia, akamkuta anatokwa damu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads