YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Jumapili, 9 Machi 2014

Je unaijua kampuni ambayo inawavalisha Taifa Stars kwa sasa!!? ijue hapa sasa

Hii ndiyo kampuni inayowavalisha Taifa Stars kwa sasa.

adidassKutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ambapo taarifa ikufikie kuwa wamefikia makubaliano na kampuni ya Adidas kupitia msaada wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kupatiwa vifaa vya michezo.
Kwa makubaliano hayo TFF walipatiwa vifaa kadhaa vya adidas kwa ajili ya timu ya Taifa ya wakubwa (Taifa Stars),Vifaa hivyo ni pamoja na jezi zilizoanza kutumika kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Namibia iliyochezwa Machi 5 mwaka huu jijini Windhoek.
Vifaa hivyo zikiwemo jezi vitaendelea kutumiwa na Taifa Stars hadi hapo utaratibu mpya wa jezi za timu ya Taifa utakapokamilika.
TFF wanaishukuru kampuni ya Adidas ambao ni washirika wa CAF na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kwa miaka mingi kwa mchango wao huu wa kuendeleza mpira wa miguu nchini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads