YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Jumanne, 17 Desemba 2013

Mcheki mtu aliyefanana na Ngwea 100% Mulemule

Unaamini huyu mshkaji kafanana na Marehemu Ngwea kwa asilimia 100?

ngwea2Tamasha la Xxl Afta xkul Bash ndio sehemu ambayo nilimuona huyu jamaa baada ya kujitokeza kwenye mashindano ya kumtafuta Mtu anaefanana na Star.
Nikaona si mbaya tukafahamu hata kwa uchache historia yake na anamjua vipi Marehemu Ngwea.
ngwea‘Mi naitwa Mohamed au Junior weezy, junior weezy kwa sababu imekua Talk of Town gumzo Town kila mtu Ngwea Ngwea,mi Ngwea namfaham kama artist so nimeonana nae mara ya mwisho nikiwa mdogo lakini Jay Moe alimwambia Ngwea unafanana sana na jamaa pale ndo ilikua mara yangu ya kwanza naya mwisho kuonana na Ngwea’.
ngweaaa‘Yeah ilikua mwaka 2003 baada ya Jay Moe kumwambia unafanana sana na dogo alisema ndio kweli nafanana nae lakini mtu aliekuja kunifahamisha zaidi ni Dully,Dully alisema unafanana sana na Ngwea na mpaka leo huwa ananiita Ngwea.watu walinishawishi kulingana na hii sura nliyonayo watu wamenishawishi taratibu naanza kuingia kwenye game bado sijafanya track nipo njiani,nakutana na vituko vingi wengine wananikimbia wanasema nimefufuka na vitu vingine vya ajabu nakutana navyo mtaani muda mwingine nasisimka nahisi kama Mangwea yuko ndani ya mwili wangu,naweza kuimba baadhi ya ngoma za Ngwea kama tupo juu..na baadhi ya ngoma zingne.
ngweeeeaaa
ngwea na mox


ngweaaa 

Source: MILLARDAYO

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads