YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Jumatano, 27 Novemba 2013

jE ULIKUA UNAJUA HII!!??

Picha ya jinsi kivuko cha Dar – Bagamoyo kitakavyokua.

kivukoNakumbuka Waziri wa ujenzi John Magufuli aliwahi kusema moja kati ya mbinu kubwa za kurahisisha miundombinu na kupunguza foleni kwenye jiji linaloongoza kwa kuwa na magari mengi Tanzania (Dar es salaam) ni kuanzisha kivuko ambacho kitakua na safar kati ya Dar na Bagamoyo.
Ni miongoni mwa mipango ambayo itatekelezwa ili kupunguza foleni lakini pia kurahisisha usafiri pamoja na kupunguza idadi ya ajali za barabarani ambazo zimekua zikitokea kutokana na uzembe wa Wamiliki na Madereva wa mabasi ya abiria.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads