YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Jumamosi, 20 Julai 2013

MSANII WA KAOLE SANAA GROUP MR BOMBA AFARIKI DUNIA

Mr Bomba enzi za uhai wake
Msanii wa zamani wa Kundi la Kaole Sanaa.
Mr Bomba amefariki dunia katika Hospitali
ya Taifa Muhimbili baada ya kusumbuliwa
kwa muda mrefu na kansa ya uvimbe wa
kwenye ini . Msiba utakuwa Buguruni
Malapa jijini Dar es salaam nyumbani kwa
marehemu alipokuwa akiishi . Mwili
utaagwa siku ya Jumatatu nyumbani kwake
Buguruni na kusafirishwa kijijini kwao
Mpwapwa Dodoma siku hiyo ya Jumatatu
kwa mazishi.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU
MAHALA PEMA PEPONI AMIN

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads