Giuliano Stroe alizaliwa june 18, 2004 katika
mji wa Florence ulioko Italy ambako anaishi
na wazazi wakeKwa sasa anaishi
Romania.Mwaka 2009 aliweka rekord kwenye
Guinness Book of World Records alifanya vitu
vya kushangaza watu kama kupiga pushup bila
kuweka miguu chini, kubeba vitu vizito. Kama
unataka kumjua zaidi mtoto huyu
bofya hapa
Giuliano Stroe akiwa
anatunisha misuri
Angalia video yake moja ya Giuliano Stroe
hapa chini
http://www.youtube.com/watch?v=mU-bzs1wG3U&feature=youtube_gdata_player
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni