Mwanake mmoja nchini Zimbabwe
amekumbwa na balaa la mwaka baada
ya kupoteza VIUNGO VYAKE VYA SIRI
( Uke)....
Mwanamke huyo alikumbwa na balaa
hilo usiku wa kuamkia tarehe 29 mwezi
wa nne mwaka huu...
Kwa mujibu wa mtandao wa
Standardmedia, mwanamke huyo alimka
usiku na kuelekea chooni kukojoa.Akiwa
chooni, alishangaa kuona mkojo
hautoki.Alipojichungulia,Ikulu ilikuwa
IMEZIBWA..!!!
Taarifa zinadai kwamba, mwanamke
huyo alizimia pale pale.
Kwa mujibu pia wa mtandao wa
Zimbabwean ambao nao umeripoti
kuhusu tukio hilo, mwanamke huyo
anadaiwa kuwa na tabia chafu ya
kutembea na waume za watu, hali
ambayo ilikuwa ikiwakera wanawake
wenzie...
Mtandao huo umedai kwamba , katika
siku za hivi karibuni, mwanamke
ajulikanaye kwa jina la Mai alimpa ONYO
kali mgoni huyo baada ya kugundua
kuwa anatoka kimapenzi na mume
wake na kumtaka aache mara moja...
Baada ya siku chache kupita tangu onyo
hilo litolewe, mwanamke huyo alijikuta
amenyofolewa nyeti zake....
Source: standardmedia
Shukrani kwa Dj Teddy
Translate
Jumanne, 21 Mei 2013
MWANAMKE ANYOFOLEWA NYETI ZAKE KWA MADAI YA KULALA NA WAUME ZA WATU...
About Young Concious
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni