YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Ijumaa, 23 Juni 2017

John Depp:Atishia kuumua Trump

Muigizaji azungumza kuhusu ''mauaji'' ya Trump

Muigizaji wa Caribbean
                                  Muigizaji wa Caribbean
             
Muigizaji wa filamu Johny Depp alitishia kumuua rais wa Marekani Donald Trump wakati wa hotuba katika sherehe za Glastonbury.
Je unaweza kumleta Trump hapa? Aliwauliza mashabiki huku akizindua filamu yake ya The Libertine.
Baada ya kuzomwa na mashabiki aliongezea: Hamukuelewa kabisa ni lini muigizaji alimuua rais? Nataka kuweka wazi ,aliongezea.
''Mimi ni muigizaji. Ninadanganya ili kulipwa. ni kitambo nadhani ni wakati''.
Nyota huyo alikiri kwamba matamshi yake ambayo yanafananishwa na mauaji ya rais Abraham Lincoln yaliotekelezwa na muigizaji John Wilkes Booth 1865 yatazua hisia.
''Najua hii itakuwa katika vyombo vya habari na itatisha'',alisema.
''Ni swali tu, sikati tamaa ya mtu yeyote''.
Muigizaji huyo sio wa kwanza kusema kuhusu kumuua rais

Source:BBCSwahili

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads