YoungConciousâ„¢

Be Updated on the World of Sports, latest News and Entertainment Stories.

Propellerads

Breaking News

Translate

Welcome to Young concious .blogspot.com ==>>Feel free to leave your comment

Jumamosi, 10 Juni 2017

Hii ndo Listi ya Vyuo vikuu bora zaidi duniani mwaka 2017

graduates
Orodha mpya ya kila mwaka ya vyuo vikuu bora zaidi duniani imetangazwa, ambapo chuo kikuu cha Massachusetts Institute of Technology (MIT) cha Marekani bado kinaongoza.
Vyuo vikuu vya Stanford na Harvard - pia kutoka Marekani - kadhalika vimeendelea kushikilia nafasi ya pili na ya tatu mtawalia.
Orodha hiyo ilishirikisha vyuo vikuu karibu 1,000.
Vyuo vikuu hupimwa kwa mambo kama vile majarida na vitabu vya kisomi vilivyochapishwa, makala zilizonukuliwa, maoni ya wasomi pamoja na waajiri na pia ushiriki wa vyuo vikuu hivyo katika ngazi ya kimataifa.
Chuo kikuu cha Nairobi kimeorodheshwa kuwa kati ya nambari 801 na nambari 1000, kutoka kuanzia nambari 701 hadi 1000mwaka jana, sawa na Chuo Kikuu cha Makerere.

Vyuo vikuu 10 bora zaidi duniani kwa mujibu wa QS World University Rankings
  1. Massachusetts Institute of Technology (MIT)
  2. Stanford
  3. Harvard
  4. California Institute of Technology (Caltech)
  5. Cambridge
  6. Oxford
  7. University College London
  8. Imperial College London
  9. Chicago
  10. ETH Zurich

University of Reading
                                  Chuo Kikuu cha Reading kinapatikana katika 200 bora katika orodha hiyo

           
Cambridge, Oxford, University College London na Imperial College London ndivyo vyuo vikuu pekee kutoka Uingereza ambavyo vimo kwenye kumi bora.
Kuna vyuo vikuu 76 vya Uingereza katika orodha hiyo ya vyuo vikuu bora, lakini waandalizi wa orodha hiyo wanasema vyuo 51 kati ya hivyo vimeshuka ukilinganisha na nafasi ya mwaka jana.

Vyuo Vikuu 50bora zaidi duniani kwa mujibu waQS World University Rankings
1 Massachusetts Institute of Technology (MIT)
2 Stanford University
3 Harvard University
4 California Institute of Technology (Caltech)
5 University of Cambridge
6 University of Oxford
7 UCL (University College London)
8 Imperial College London
9 University of Chicago
10 ETH Zurich - Swiss Federal Institute of Technology
11 Nanyang Technological University, Singapore (NTU)
12 Ecole Polytechnique Fédérale de Lausanne (EPFL)
13 Princeton University
14 Cornell University
15 National University of Singapore (NUS)
16 Yale University
17 Johns Hopkins University
18 Columbia University
19 University of Pennsylvania
20 The Australian National University
=21 Duke University
=21 University of Michigan
=23 King's College London
=23 The University of Edinburgh
25 Tsinghua University
26 The University of Hong Kong
27 University of California, Berkeley (UCB)
=28 Northwestern University
=28 The University of Tokyo
30 The Hong Kong University of Science and Technology
31 University of Toronto
32 McGill University
33 University of California, Los Angeles (UCLA)
34 The University of Manchester
35 London School of Economics and Political Science (LSE)
=36 Kyoto University
=36 Seoul National University
=38 Peking University
=38 University of California, San Diego (UCSD)
40 Fudan University
=41 The University of Melbourne
=41 KAIST - Korea Advanced Institute of Science & Technology
43 Ecole normale supérieure, Paris
44 University of Bristol
45 The University of New South Wales (UNSW Sydney)
46 The Chinese University of Hong Kong (CUHK)
=47 Carnegie Mellon University
=47 The University of Queensland
49 City University of Hong Kong
50 The University of Sydney


Inakadiriwa kwamba kwa jumla kuna vyuo vikuu kati ya 20,000 na 26,000 kote duniani.

Source:BBCSWAHILI

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Propellerads